forked from WA-Catalog/sw_tn
407 B
407 B
Sentensi unganishi
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
umegawanya bahari
Mungu aligawanywa
wewe ... wale waliokuwa wakiwafuata ukawatupa ndani ya kilindi, kama jiwe ndani ya maji ya kina
Katika mfano huu, mwandishi huelezea Mungu akitupa Wamisri ndani ya bahari kwa urahisi kama mtu atakayepiga jiwe ndani ya maji, na jiwe litatoweka chini ya maji kabisa.