forked from WA-Catalog/sw_tn
705 B
705 B
Ndipo Walawi...akasema, "Simameni...milele"
Hapa Walawi wanazungumza na watu wa Israeli.
mkamsifu Bwana
"kumbariki Bwana"
Yeshua....... Kadmieli....... Bani,......Hashabneya, ..... Sherebia
majina ya wanaume. Tafsiri katika 9:3.
Hashabneya.....Hodia.....Pethalia
majina ya wanaume
Libarikiwe jina lako tukufu
alawi wanazungumza na Bwana. "Watu wa Yuda walibariki jina lako tukufu, Bwana"
mbingu za juu, na jeshi lake lote ... jeshi la mbinguni likuabudu wewe
Mwenyeji ni jeshi. "Majeshi ya mbinguni" anasema kwa mfano wa nyota nyingi kama kwamba walikuwa jeshi. Nyota kwa upande wake ni mfano wa malaika wengi. Nyota zinaomwabudu Bwana ni mfano wa malaika wanaomwabudu Bwana. (UDB)