sw_tn/neh/07/19.md

275 B

Sentensi unganishi

Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni.

Bigwai.....Adini...Ateri...Hashumu

Haya ni majina ya wanaume.

Wana wa Ateri, wa Hezekia

Mwandishi amefupisha neno hili. AT "wana wa Ater, ambaye ni wa uzao wa Hezekia"