sw_tn/neh/04/17.md

244 B

Kila mtu alifanya kazi kwa mkono mmoja, na kwa mkono mwingine alikuwa na silaha yake

Hii ni kisichozidi. Hawakuwa na kazi kwa mkono mmoja tu, lakini daima walikuwa na silaha yao pamoja nao ili wawe tayari kujikinga na wale walio karibu nao.