sw_tn/neh/03/16.md

641 B

Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala

Nehemia alikuwa mtawala, si Azbuki.

Nehemia

Huyu ni mtu tofauti aitwaye Nehemia kutoka kwa mtu aliyeandika kitabu hiki.

mtawala

"msimamizi mkuu" au "kiongozi"

nusu ya wilaya

"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa

Nehemia...Azbuki...Rehumi....Hashabia

Haya ni majina ya watu.

Beth-suri...Keila

Haya ni majina ya mahali

kujenga mahali... Walawi walijenga

Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "aliandaa ukuta hadi mahali ... Walawi walijenga ukuta"

watu wenye nguvu

"wapiganaji"

kwa wilaya yake

"anayewakilisha wilaya yake" au "kwa niaba ya wilaya yake"