sw_tn/nam/02/03.md

362 B

mashujaa wake

askari wa mtu " ambaye takuvunja"Ninawi "vipande vipand":(2:1).

mivinje

aina ya mti ambao ubao wake unafaa kwa ajili ya silaha.

Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa

" madereva wa magari ya vita wanaendesha kwa fujo kwenye mitaa"

Yapo kama kurunzi

Hii inarejea kwenye mng'aro wa magari ya vita yanapoakisi mwanga kutoka kwenye jua.