sw_tn/mrk/16/14.md

1.2 KiB

Sentensi unganishi

Wakati ambapo Yesu anakutana na kumi na moja, anawakemea kwa kutokuwa na imani na kuwambia waende kwa ulimwengu wote kuhubiri injili.

kumi na moja

Hawa ni wanafunzi kumi na moja ambao walibaki baada ya Yuda kuwaacha.

walikuwa wameegama katika meza

Hiki ni kirai cha kula, ambacho kilikuwa ni njia ya kawaida siku zile wakati wa kula. "walikuwa wanakula chakula"

kueegama

Walikuwa wameegama chini upande wa kushoto, wakitumia mkono wao wa kula chakula kwenye meza.

mioyo migumu

Yesu anakemea wanafunzi wake kwa sababu wasingeweza kumwamini. Tofasiri usemi huu ili ieleweke kuwa wanafunzi hawakumwamini Yesu. "kukataa kuamini"

Nenda katika ulimwengu

Hapa "ulimwengu" ni kirai kwa watu katika ulimwengu. "Nenda kila sehemu kuna watu"

ulimwengu wote

Hii ni kutia chumvi na kirai kwa ajili ya watu "ulimwengu wote"

Yeye abatizae na akabatizwa ataokolewa

Neno "a" urejea kwa yeyote. Sentensi hii inaweza kufanywa katika kauli tendaji."Mungu atawaokoa watu wote ambao wanaamini na kukuruhu wewe uwabatize"

yeye asiye amini atahukumiwa

Neno "a" urejea kwa yeyote. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " Mungu atahukumu watu wote ambao hawaamini."