1.2 KiB
Sentensi unganishi
Wakati ambapo Yesu anakutana na kumi na moja, anawakemea kwa kutokuwa na imani na kuwambia waende kwa ulimwengu wote kuhubiri injili.
kumi na moja
Hawa ni wanafunzi kumi na moja ambao walibaki baada ya Yuda kuwaacha.
walikuwa wameegama katika meza
Hiki ni kirai cha kula, ambacho kilikuwa ni njia ya kawaida siku zile wakati wa kula. "walikuwa wanakula chakula"
kueegama
Walikuwa wameegama chini upande wa kushoto, wakitumia mkono wao wa kula chakula kwenye meza.
mioyo migumu
Yesu anakemea wanafunzi wake kwa sababu wasingeweza kumwamini. Tofasiri usemi huu ili ieleweke kuwa wanafunzi hawakumwamini Yesu. "kukataa kuamini"
Nenda katika ulimwengu
Hapa "ulimwengu" ni kirai kwa watu katika ulimwengu. "Nenda kila sehemu kuna watu"
ulimwengu wote
Hii ni kutia chumvi na kirai kwa ajili ya watu "ulimwengu wote"
Yeye abatizae na akabatizwa ataokolewa
Neno "a" urejea kwa yeyote. Sentensi hii inaweza kufanywa katika kauli tendaji."Mungu atawaokoa watu wote ambao wanaamini na kukuruhu wewe uwabatize"
yeye asiye amini atahukumiwa
Neno "a" urejea kwa yeyote. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " Mungu atahukumu watu wote ambao hawaamini."