sw_tn/mrk/16/08.md

1.5 KiB

kaburi,sehemu ya kuzikia

Neno "kaburi" inarejea kwenye eneo ambapo watu wanaweka mwili wa mtu aliyekufa. "Sehemu ya kuzikia" ni neno la kiujumla ambalo linarejea kwa:

  • Wakati mwingine Wayahudi walitumia mapango kama makaburi, na wakati mwingine walichimba mapango kwenye mawe sehemu ya milima.
  • Katika Agano Jipya, ilikuwa ni kawaida kusukuma jiwe kubwa na zito mbele ya kaburi lililo wazi ili kufunga.
  • Kama neno kaburi linaweza kurejea kama shimo ambapo mwili unawekwa chini ya ardhi, njia zingine za kutofasiri inaweza kuwa, "pango" au "shimo" ndani ya sehemu ya mlima"
  • Neno "kaburi" nadra hutumiwa kwa ujumla na kwa usemi urejea kwa hali ya kufa au eneo ambalo roho za watu zinakuwa.

walishangazwa

Haya maneno urejea kwa kushangazwa kwa sababu ya kitu cha ajabu kilichofanyika.

  • Baadhi ya maneno haya yametofasiriwa kwa usemi wa Kigiriki ambayo unamaanisha "kumpiga kwa kushangaza" au "kusimama nje ya mtu" usemi huu unaeleza namna ilivyo ya kushangaza ua mshtuko wa mtu alivyojisikia. Lugha zingine zinaweza kuwa na usemi wa kueleza hili
  • Kawaida tukio ambalo limesababisha maajabu na mshangao lilikuwa na miujiza, jambo ambalo Mungu mwenyewe angelifanya.
  • Maana ya maneno haya inaweza pia kujumuisha hisia za kuchanganyikiwa kwa sababu kilichofanyika hakikutegemewa.
  • Njia zingine za kutofasiri maneno haya inaweza, "kushangazwa kupita kiasi" au "kushitushwa sana"
  • Maneno yanayohusiana hujumuisha: "ajabu"
  • Kwa ujumla, maneno haya ni chanya na yanaeleza kuwa watu walikuwa na furaha kuhusu kilichokwisha tokea.