sw_tn/mrk/14/66.md

642 B

Sentensi unganishi

Kama Yesu alivyokuwa ametabiri, Petro anamkana Yesu mara tatu kabla ya jogoo hajawika.

chini ya uani

"nje ya uani"

mmoja wa wasichana wa kuhani mkuu

Mtumishi wa kike alimtumikia kuhani mkuu. "moja wa watumishi wa kike waliomtumikia kuhani mkuu"

alimkana

Hii inamaanisha kudai kwamba kitu fulani si sahihi. Katika hali hii, Petor alikuwa akisema kwamba alichosema mtumishi wa kike kuhusu yeye hakikuwa sahihi.

Sijui wala sielewi kuhusu kile unachosema

Ote,"kujua" na "kuelewa" zina maana ile ile hapa. Maana imerudiwa kuongeza msisitizo kwa kile alichokuwa akisema Petor. "Hakika sikuelewi unachoongelea"