sw_tn/mrk/14/53.md

880 B

Sentensi unganishi

Baada ya umati wa makuhani wakuu, waandishi, na wazee kumuongoza Yesu kwa kuhani mkuu, Petro anamtazama kwa mbali wakati wengine wanasimama kushuhudia uongo kinyume na Yesu.

Pale walikusanyika pamoja naye makuhani wakuu wote, wazee, waandishi.

Hii inaweza kupangiliwa kwa upya ili kwamba inakuwa rahisi zaidi kuelewa. "Makuhani wakuu wote, wazee, na waandishi walikuwa wamekusanyika hapa kwa pamoja"

Sasa

Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya badiliko katika hadidhi kama mwandishi anavyoanza kusema kuhusiana na Petro.

kuelekea kwenye ua wa kuhani mkuu.

Kama Petro alivyomfuata Yesu, alisimama katika uwanja wa kuhani mkuu. Hii inaweza kuandikwa waziwazi. "na alienda mpaka uwanja wa kuhani mkuu"

Aliketi pamoja na walinzi

Petro aliketi pamoja na walinzi waliokuwa wakifanya kazi katika uwanja. "Aliketi katika uwanja pamoja na walinzi"