sw_tn/mrk/14/20.md

626 B

Ni moja wa kumi na wawili kati yetu

"Yeye ni mmoja wa kumi na wawili, mmoja kwa sasa"

anachovya tonge katika bakuli pamoja nami.

Katika utamaduni wa Yesu, wate wangeweza kula mara chache mkate, kuchovyo katika bakuli la mchuzi.

Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakwenda kama vile maandiko yasemavyo juu yake

Hapa Yesu urejea kwa maandiko kutabiri kuhusu kifo chake. Kama una njia ya kistaraabu kusema kuhusu kifo katika kabila lako, tumia hapa. "Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakufa kama yasemavyo maandiko"

kupitia yeye Mwana wa Adamu atasalitiwa

Hii inaweza kuanishwa zaidi moja kwa moja. "nani anamsaliti Mwana wa Adamu"