sw_tn/mrk/14/17.md

355 B

Karibia meza

Ilikuwa desturi kuwa na meza fupi ikiwa na mito ambapo wageni wangeweza kukaa mbele katika mkao wa nusu kulala kwenye meza wakati wa karamu ya chakula.

mmoja baada ya mwingine

Hii ina maana kwamba "mmoja kwa muda wake" kila mwanafunzi alimwuliza yeye.

Hakika si mimi?

"Hakika, haiwezi kuwa mimi ninayesaidia adui zako kukukamata!"