forked from WA-Catalog/sw_tn
355 B
355 B
Karibia meza
Ilikuwa desturi kuwa na meza fupi ikiwa na mito ambapo wageni wangeweza kukaa mbele katika mkao wa nusu kulala kwenye meza wakati wa karamu ya chakula.
mmoja baada ya mwingine
Hii ina maana kwamba "mmoja kwa muda wake" kila mwanafunzi alimwuliza yeye.
Hakika si mimi?
"Hakika, haiwezi kuwa mimi ninayesaidia adui zako kukukamata!"