sw_tn/mrk/14/15.md

263 B

Fanyeni maandalizi kwa ajili yetu pale

Walipaswa kufanya maandalizi ya chakula cha Yesu na wanafunzi wake kula. "Andaa chakula kwa ajili yetu hapo"

wanafunzi waliondoka

"Wanafunzi wawili waliondoka"

alivyokuwa amewaambia

"kama Yesu alivyokuwa amesema"