forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
366 B
Markdown
20 lines
366 B
Markdown
# Simoni Mkoma
|
|
|
|
Huyu mtu alikuwa na ukoma hapo awali lakini hakuwa mgonjwa tena.
|
|
|
|
# alabaster
|
|
|
|
Hili ni laini, "jiwe jeupe."
|
|
|
|
# Nini sababu ya upotevu huu?
|
|
|
|
Hakuna sababu nzuri kupoteza manukato ghali namna ile.
|
|
|
|
# Manukato haya yangeweza kuuzwa
|
|
|
|
"Tungeuza manukato haya." au Angeweza kuuza manukato haya
|
|
|
|
# dinari mia tatu
|
|
|
|
"dinari 300." Dinari ni sarafu za Kirumi.
|