forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.4 KiB
Markdown
40 lines
1.4 KiB
Markdown
# kuwakabidhi
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwaweka chini ya usimamizi wa mtu mwingine. Kwa jambo hili, chini ya uzimamizi wa mamlaka.
|
|
|
|
# lakini Roho Mtakatifu
|
|
|
|
Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezewa. "lakini Roho Mtakatifu atazungumza kupitia wewe"
|
|
|
|
# Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa
|
|
|
|
Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa "Ndugu atamshitaki ndugu yake kuuawa" Hii inamaanisha kuwa ndugu atamsaliti ndugu yake na kusaliti huku kutasababisha ndugu yake kuuawa
|
|
|
|
# Ndugu...ndugu
|
|
|
|
Hii inarejea kwa wote ndugu na dada
|
|
|
|
# baba na mtoto
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa baba atamsaliti mtoto wake na kusaliti huku kutasababisha mtoto kuuawa. "baba atamshitaki mtoto wake "auwawe" au baba atamsaliti mtoto wake, kumwaacha auwawe"
|
|
|
|
# Watoto watasimama kinyume cha baba zao
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa watoto watawapinga wazazi wao na kuwasaliti.
|
|
|
|
# kuwasababisha kuuawa
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa mamlaka yatasema wauwawe. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji.
|
|
|
|
# Mtachukiwa na kila mtu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Kila mmoja atawachukia"
|
|
|
|
# kwa sababu ya jina langu
|
|
|
|
Yesu anatumia kirai "jina langu" kurejea kwake mwenyewe. "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnaniamini mimi"
|
|
|
|
# atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa mwaminifu kwa Mungu mpaka mwisho wa maisha ya mtu. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atamuokoa yeyote aliye mwaminifu kwake, kuvumilia majaribu, mpaka mwisho wa maisha yake"
|