sw_tn/mrk/13/09.md

854 B

Iweni macho

"Iweni tayari kwa yale watu watawafanyia"

watawapeleka hadi

Hii inamaanisha kuwafunga watu fulani na kuwaweka chini ya usimamizi wa mtu mwingine.

mtapigwa

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "watu watawapiga"

Mtasimamishwa mbele

Hii inamaanisha kuwekwa katika kujaribiwa na kuhukumiwa. "Mtawekwa katika kujaribiwa kabla" au "Mtaletwa katika kujaribiwa na kuhukumiwa"

kwa ajli yangu

"Kwa sababu yangu" au "kusababishwa na mimi"

kama ushuhuda kwao

Hii inamaanisha watashuhudia kuhusu Yesu. Hii inaweza kufanywa wazi. "na kuwashuhudia kuhusu mimi" au "na mtawambia kuhusu mimi"

Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.

Yesu bado anazungumza juu ya mambo ambayo lazima yatatokea kabla ya mwisho kuja. Hii inaweza kufanywa wazi. "Lakini injili ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote kabla mwish haujaja"