sw_tn/mrk/13/01.md

793 B

Maelezo ya ujumla

Walipoondoka eneo la hekaluni, Yesu anawambia wanafunzi wake nini kitatokea badae katika hekalu zuri ambalo Herode mkuu alilijenga.

mawe haya yakushangaza na majengo

"Mawe" urejea kwa mawe yaliyotumiwa kujenge. ""majengo yakushangaza na mawe yalitokana nayo"

Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja

Hili swali linatumiwa kuleta umakini kwa majengo. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Tazama haya majengo makubwa sasa, lakini hakuna jiwe hata moja"

Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangishwa chini.

Hii inamaanisha kuwa maadui wa kijeshi wataangusha mawe. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Hakuna jiwe hata moja litakalo salia juu ya jingine, kwa kuwa maadui wa kijeshi watakuja na kubomoa majengo haya."