sw_tn/mrk/12/38.md

710 B

salamu walizopokea kwenye masoko

Nomino "salamu" inaweza kuelezwa pamoja na kitendo "salimu". Hizi salamu zilionyesha kuwa watu waliwaheshimu waandishi. "na kusalimiwa kwa heshima kwenye masoko" au "na kwa watu kuwasalimu kwa heshima kwenye masoko"

Wanakula nyumba za wajane

Hapa Yesu anawaeleza wandishi wakiwadanganya wajane na kuiba nyumba zao kama kula nyumba zao.

Hawa watu watapokea hukumu iliyo kuu

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu hakika atawahukumu kwa hukumu kuu" au "Mungu kwa hakika atawahukumu kwa ukali"

watapokea hukumu kuu kuliko

Neno "kuliko" humaanisha kulinganisha. Hapa kulinganisha ni watu wengine waliohukumiwa. "watapokea hukumu kuu kuliko watu wengine"