sw_tn/mrk/12/35.md

339 B

Je! Ni kwa jinsi gani waandishi husema Kristo ni mwana wa Daudi?

"Hawa watu hufundisha sheria ya kiyahudi lazima hawako sahihi wanaposema kwamba Kristo ni mtu tu wa kawaida wa uzao wa Mfalme Daudi!"

mwana wa Daudi

Neno "mwana" limetumika hapa kuelezea ukoo.

Ni kwa jinsi gani mwana wa Daudi?

"hivyo hawezi kuwa mwana wa Daudi!"