sw_tn/mrk/12/32.md

1.2 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anamsifu mwandishi juu ya mawazo yake juu ya kila alichosema Yesu.

Vema

"Jibu zuri"

Mungu ni mmoja

Hii inamaanisha kuwa kuna Mungu mmoja tu.

hakuna mwingine

Iliyokosekana inaweza kuongezewa. "hakuna Mungu mwingine"

kwa moyo wote...kwa ufahamu wote... kwa nguvu zote

"Moyo" ni mfano utu wa ndani wa mtu na tamaa zake na hisia. "Ufahamu" urejea kwa kufikri na "nguvu" urejea kwa nguvu za mtu kufanya.

ule moyo...ule ufahamu...zile nguvu

Neno "ule" limewekwa katika maumbo yai ambapo neno "ako" limeachwa. Linaweza kuongezwa.

kumpenda jirani kama mwenyewe

Mfanano huu unalinganishwa namna watu wanavyopaswa kupendana wao kwa wao kwa upendo ule ule wanavyojipenda wenyewe.

ni muhimu mno kuliko

Lugha hii inamaanisha kuwa kitu fulani ni muhimu mno kuliko kitu kingine. Kwa hali hii, amri hizi mbili ni zaidi ya kumfurahisha Mungu kwamba matoleo ya kuteketeza na dhabihu.

Wewe hauko mbali na ufalme wa Mungu

Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa chanya. Hapa Yesu anazungumza juu ya mtu aliye tayari kujitoa kwa Mungu kama mfalme kama aliye karibu kimwili kwa ufalme wa Mungu, kama inavyofananishwa na eneo halisi.

hakuna hata mmoja aliye thubutu

Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa chanya. "kila moja aliogopa"