forked from WA-Catalog/sw_tn
586 B
586 B
Akamtuma kwao
"mumiliki wa shamba la mzabibu alituma waoteshaji wa mzabibu"
wakamjeruhi kichwani
Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "walimpiga huyo moja kwenye kichwa, na kumuumiza vibaya"
bado mwingine...wengine wengi
Haya maneno urejea kwa watumishi wengine. "bado mtumishi mwingine...watumishi wengine wengi"
Waliwatendea wengine wengi mambo kama hayo hayo.
Hii inarejea kwa watumishi waliotumwa na mwenye shamba. Maneno "hayo hayo" urejea kwa jinsi walivyotendewa. Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "Waliwatendea watumishi wengine wengi waliotumwa na mwenye shamba"