sw_tn/mrk/11/17.md

311 B

Je haikuandikwa, 'Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote'?

"Imeandikwa ndani ya maandiko kwamba Mungu alisema, 'Ninataka nyumba yangu kuitwa nyumba mahali watu kutoka mataifa yote wanapaswa kusali', lakini ninyi majambazi mmeifanya kama pango mahali mnakoweza kujificha! Ninyi mnajua hivyo!"