Walikuja
"Yesu na wanafunzi wake walikuja"
kuanza kuwatoa nje wauzaji na wanunuzi ndani ya hekalu
Yesu anawafukuza watu hawa nje ya hekalu. Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "kuanza kuwatoa wauzaji na wanunuzi nje ya hekalu"
wauzaji na wanunuzi
"watu waliokuwa wakinunua na kuuza"