sw_tn/mrk/11/04.md

410 B

Walikwenda

"Wanafunzi wawili walikwenda"

mwanapunda

Hii urejea kwa punda mdogo aliye na uwezo wa kubeba mtu.

Walizungumza

"Waliitikia"

kama Yesu alivyowaambia

"kama Yesu alivyowaambia kuitikia." Hii inarejea namna Yesu alivyokwisha waambia kuitikia kwa maswali ya watu kuhusu kumchukua mwanapunda.

wakawaacha waende

Hii inamaanisha kuwa waliwaruhusu kuendelea kufanya walichokuwa wakifanya"