sw_tn/mrk/09/49.md

747 B

Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto.

Hapa Yesu anazungumzia kila moja atakaswe kwa kupitia mateso. Yesu anazungumzia mateso kama moto na kuwapa mteso watu kama inavyoweza kutumika kwa chumvi kwao. Hii inaweza kusemwa pia katika kauli tendi. "Kama chumvi inavyotakasa dhabihu, Mungu atamtakasa kila mmoja kwa kuwaruhu kuteseka"

ladha yake

"ina ladha ya chumvi"

utaifanyaje iwe na ladha yake tena?

Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "hauwezi kuifanya ladha yake tena."

ladha yake tena

"ladha ya chumvi tena"

Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe

Yesu anazungumza kufanya mambo mazuri kwa kila mmoja kama hayo mazuri ni chumvi ambayo watu wanakuwa nayo. "Fanya vizuri kwa kila mmoja, kama chumvi iongezavyo ladha kwa chakula"