sw_tn/mrk/09/36.md

436 B

katikati yao

"miongoni mwao" Neno "mwao" urejea kwa umati

Akamchukua katika mikono yake

Hii inamaanisha kuwa alimkumbatia mtoto au kumnyanyua na kumweka katika mapaja yake.

mtoto kama huyu

"mtoto kama huyu"

kwa jina langu

Hii inamaanisha kufanya kitu fulani kwa sababu ya upendo kwa Yesu. "kwa sababu wananipenda" au "kwa ajili yangu"

aliyenituma

Hii urejea kwa Mungu aliyemtuma kwa ulimwengu. "Mungu amenituma mimi"