sw_tn/mrk/09/33.md

918 B

Sentensi unganishi

Wakati ambapo wanafika Karperinaumu, Yesu anafundisha wanafunzi wake kuwa watumishi wanyenyekevu.

walikuja

"walifika." Neno "wali" urejea kwa Yesu na wanafunzi wake.

kujadili

"wanajadili wao kwa wao"

walikuwa kimya

Walikuwa kimya kwa sababu waliona aibu kumwambia Yesu walichokuwa wanajadili. "walikuwa kimya kwa sababu waliona aibu"

nani alikuwa mkubwa

Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa iliyokosekana. "nani alikuwa mkubwa kati yao"

Kama yeyote anataka kuwa wa kwanza, ni lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote.

Hapa neno "kwanza" na "mwisho" ni maneno yanayo pishana. Yesu anazungumza kuwa "muhumimu zaidi" kama kuwa wa "kwanza" na kuwa "usiye wa muhimu zaidi" kama kuwa wa "mwisho" Kama yeyote anataka Mungu amjali ya kuwa yeye ni wa muhimu zaidi, anapaswa kujiona yeye kuwa asiye na umuhimu zaidi kwa wote"

kwa wote...kwa wote

"kwa watu wote...kwa watu wote"