forked from WA-Catalog/sw_tn
948 B
948 B
Sentensi unganishi
Yesu na wanafunzi wake waliiacha nyumba pale walipokuwa na Yesu baada ya kumponya kijna aliyekuwa na pepo. Anatumia muda kuwafundisha wanafunzi wake peke yao.
Kupitia
Kwenda kupitia",au"Kupitia kwa"
Walienda nje ya hapo
"Yesu na wanafunzi wake waliondoka mkoa huo"
kupitia
"alisafiri kupitia"
kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake
Yesu alikuwa anafundisha wanafunzi wake kwa faragha, mbali na umati.
Mwana wa Adamu
Hapa Yesu anarejea kwake mwenyewe kama Mwana wa Adamu. Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu. "Mimi, Mwana wa Adamu,"
katika mikono ya wanaume
Hapa "mikono" ni kirai cha kuthibiti. "katika udhibiti wa wanaume"
Wakati alipouwawa, baada ya siku tatu
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Baada ya kumuua na siku tatu kupita."
walikuwa wameogopa kumuuliza
Walikuwa wameogopa kumuuliza Yesu hii sentensi ilikuwa ina maana gani. "walikuwa wameogopa kumuuliza ilimaanisha nini"