sw_tn/mrk/09/30.md

948 B

Sentensi unganishi

Yesu na wanafunzi wake waliiacha nyumba pale walipokuwa na Yesu baada ya kumponya kijna aliyekuwa na pepo. Anatumia muda kuwafundisha wanafunzi wake peke yao.

Kupitia

Kwenda kupitia",au"Kupitia kwa"

Walienda nje ya hapo

"Yesu na wanafunzi wake waliondoka mkoa huo"

kupitia

"alisafiri kupitia"

kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake

Yesu alikuwa anafundisha wanafunzi wake kwa faragha, mbali na umati.

Mwana wa Adamu

Hapa Yesu anarejea kwake mwenyewe kama Mwana wa Adamu. Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu. "Mimi, Mwana wa Adamu,"

katika mikono ya wanaume

Hapa "mikono" ni kirai cha kuthibiti. "katika udhibiti wa wanaume"

Wakati alipouwawa, baada ya siku tatu

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Baada ya kumuua na siku tatu kupita."

walikuwa wameogopa kumuuliza

Walikuwa wameogopa kumuuliza Yesu hii sentensi ilikuwa ina maana gani. "walikuwa wameogopa kumuuliza ilimaanisha nini"