sw_tn/mrk/09/17.md

1.5 KiB

Sentensi unganishi

Kueleza nini waandishi na wale wanafunzi walikuwa wakibishania nini, baba wa yule kijana aliye na mapepo anamwambia Yesu kwamba amewauliza wanafunzi kutoa pepo kwa kijana, lakini hawakuweza. Yesu kisha analitoa pepo nje ya mvulana. Baadaye wanafunzi wanauliza kwa nini halishindwa kumtoa pepo.

Ana roho

Hii inamaanisha yule kijana ana roho chafu. "Ana roho chafu"

kutoka povu mdomoni

Wakati mtu anakuwa na mshtuko, wanaweza kuwa na shida ya kupumua au kuvuta hewa. Hii inasababisha kutoka povu mdomoni. Kama lugha yako ina njia kueleza hili, unaweza tumia.

anakuwa mgumu

"kuwa mwenye shingo ngumu" Inaweza kuwa msaada kusema kwamba ni mwili wake unaokuwa mgumu.

hawakuweza

Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "hawakuweza kutoa roho chafu nje yake"

Aliwajibu

Ijapokuwa alikuwa ni baba wa kijana aliyefanya ombi kwa Yesu, Yesu anaitikia kwa umati wote. Hii inaweza kusemwa kwa usahihi. "Yesu aliitikia kwa umati"

Kizazi cha wasioamini

"Nyie kizazi cha wasioamini" Yesu anaita umati wake hivi, kama anavyoanza kuwajibu.

nitakaa nanyi kwa muda gani?...nitachukuliana nanyi

Yesu anatumia maswali haya kueleza kukatishwa tamaa kwake. Yote maswali yana maana ile ile. Yanaweza kuandikwa kama sentensi. " Nimechoshwa na kutoamini kwenu!" au "Kutoamini kwenu kumenichosha! Nashangaa kwa muda gani nitachukuliana nanyi."

Nitachukuliana nanyi

"nitachukuliwana nanyi" au "kuvumialiana nanyi"

Mleteni kwangu

"Mleteni mvulana kwangu"