1.3 KiB
Eliya afanya kweli...watu watamchukia yeye?
Ijapokuwa Petro, Yakobo, na Yohana walishangaa nini Yesu angemaanisha na "kufufuka toka kwa wafu," walimuuliza badala ya ujio wa Eliya.
Walimuuliza
Neno "wa" urejea kwa Petor, Yakobo, na Yojhana.
Kwa nini waandishi wanasema kuwa Eliya anapaswa kuwa kwanza?
Unabii unasemswa kwamba Elijah ambaye angekuja toka mbinguni. Kisha Masihi, ambaye ni Mwana wa Adamu, atakuja kutawala na Mwana wa Adamu atakuja kuteseka na kuchukiwa na watu. Wanafunzi wamechanganyikiwa ni kwa namna gani hivi viiwili vinaweza kweli.
kwamba Eliya anapaswa kuja wa kwanza
Waandishi walifundisha kuwa Eliya angerudi tena ulimwenguni kabla ya Masihi kuja.
Kwa nini imeandikwa...achukiwe
Kama Yesu anafundisha wanafunzi wake, anauliza swali hili na kisha kuwaambia wanafunzi wake jibu. Hii inaweza kama sentensi. "Lakini pia nataka wewe ufikirie kile kilichoandikwa kuhusu Mwana wa Adamu. Maandiko yanasema kuwa anapaswa kuteseka kwa mambo mengi na kufanyiwa vibaya kama aliyechukiwa"
apate mateso mengi na achukiwe?
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "na watu walimtenda kama mtu aliyechukiwa"
na walimfanya kama walivyopenda
Inaweza kuwa msaada kusema nini watu walimfanya kwake. "na viongozi wetu walimfanyia vibaya, kama jinsi walivyo taka kufanya"