sw_tn/mrk/09/09.md

412 B

aliwaamuru kutokumwambia mtu yeyote yale yote waliyoyaona, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu.

Hii inamaanisha kuwa alikuwa akiwaruhusu wawaambie watu kuhusu kile walichokiona tu baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.

Kufufuka kutoka kwa wafu

"Kuwa unaishi tena baada ya kufa"

Waliyatunza mambo wao wenyewe.

"Hivyo hawakusema kuhusu mambo haya kwa yeyote ambaye hakuyaona pia yaliyotokea.