sw_tn/mrk/09/07.md

515 B

wingu lilitokea na kuwafunika

"kutokea na kuwafunika"

Ndipo sauti ikatoka mawinguni

"Sauti" ni kirai cha Mungu. Pia, "sauti" inaelezwa kama "inatoka mawinguni", ikimaanisha kuwa walimsikia Mungu akuzungumza kutoka mawinguni. "Kisha Mungu alizungumza toka mawinguni"

Huyu ni mwanangu mpendwa. Msikieni

Mungu Baba aliezea upendo wake kwa mwanae mpendwa, Mwana wa Mungu.

Mwana mpendwa

Hili ni jina muhimu kwa Yesu.Mwana wa Mungu.

walipokuwa wakitazama

Hapa "wa" urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana.