sw_tn/mrk/08/31.md

569 B

Mwana wa Adamu

Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu.

na atakataliwa na viongozi na makuhani wakuu, na waandishi, na atauawa, na baada ya siku tatu atafufuka.

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "na kwamba viongozi na makuhani wakuu na waandishi watamkataa, na watu hao watamuua na baada ya siku tatu atafufuka."

Alisema haya kwa uwazi

"Alisema hivi ili iwe nyepesi kuelewa"

alianza kumkemea

Petro alikemewa na Yesu kwa kusema mambo aliyosema kuwa yangetokea kwa Mwana wa Adamu. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "alianza kumkemea kwa kusema mambo haya"