sw_tn/mrk/08/22.md

439 B

Sentensi unganishi

Wakati ambapo Yesu na wanafunzi wake wanatoka katika mtumbwi wao hukpo Bethsaida, Yesu anamponya mtu kipofu.

Bethsaida

Huu ulikuwa ni mji kaskazini mwa ufuko wa bahari ya Galilaya.

akamshika

Hii inaweza kuwa msaada kusema kwa nini walitaka Yesu amguse mtu huyo. "kumgusa ili kumponya"

Alipotema mate juu ya macho yake ...alimuuliza

"Wakati ambapo Yesu alipotema mate juu ya macho yake... Yesu alimuuliza"