sw_tn/mrk/08/18.md

545 B

Mna macho, hamuoni? Mna masikio, hamsikii? Hamkumbuki?

Yesu anaendelea kukemea kwa utilivu wanafunzi . Haya maswali yanaweza kuandikwa kama sentensi. "Una macho, lakini hauelewi unachokiona. Una masikio, lakini hauelewi unachosikia. Lazima ukumbuke"

elfu tano

Hii urejea kwa watu 5,000 Yesu aliye walisha

mlichukua vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate?

Hii inaweza kuwa msaada kusema wakati ambapo walichukua vipande vya vikapu. "ni vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate mlichukua baada ya kila mmoja amemaliza kula"