forked from WA-Catalog/sw_tn
332 B
332 B
Alisema
"Yesu alisema"
Ni kile ambacho kinamtoka
Inaweza kuwa msaada kusema kwa ufasaha "kile" urejea kwa. "Ni mawazo na matendo yanayomtoka mtu."
kupenda anasa
kushindwa kutawala tamaa za mwili
yanatoka ndani
Hapa neno "ndani" huelezea moyo wa mtu. "hutoka ndani mwa moyo wa mtu" au "hutoka ndani mwa mawazo ya mtu"