sw_tn/mrk/07/20.md

332 B

Alisema

"Yesu alisema"

Ni kile ambacho kinamtoka

Inaweza kuwa msaada kusema kwa ufasaha "kile" urejea kwa. "Ni mawazo na matendo yanayomtoka mtu."

kupenda anasa

kushindwa kutawala tamaa za mwili

yanatoka ndani

Hapa neno "ndani" huelezea moyo wa mtu. "hutoka ndani mwa moyo wa mtu" au "hutoka ndani mwa mawazo ya mtu"