sw_tn/mrk/07/17.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Wanafunzi bado hawajaelewa nini Yesu alichosema kwa waandishi, Mafarisayo, na umati. Yesu anaeleza maana zaidi kwa utoshelevu kwao.

Sasa

Neno hili limetumika hapa kuanzisha wazo jingine katika hadithi. Sasa Yesu yuko mbali na umati, yuko ndani na wanafunzi wake.

Bado hamjaelewa?

Yesu anatumia swali hili kueleza kukatishwa tamaa kwake kwamba hawaelewi. Hii inaweza kuelezwa kama sentensi. "Baada ya yote nimekwisha sema na kufanya, ningetegemea muelewe"

Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua

Yesu anatumia swali hili kufundisha wanafunzi wake kitu fulani ambacho walipaswa kuwa wanakijua tayari. Inaweza kusemwa kama sentensi "Chochote kiingiacho...huchafua

kwa sababu hakiwezi

Hapa "haki" urejea kwa kile kimwingiacho mtu, kwamba, kila mtu anakula.

Yesu alifanya

"Yesu alitangaza"

vyakula vyote safi

Inaweza kuwa msaada kueleza kwa usahihi nini maana ya maneno haya. "vyakula vyote safi, inamaanisha kuwa watu wanaweza kula chakula chochote pasipo Mungu kumhesabia mlaji kuwa najisi