sw_tn/mrk/07/11.md

957 B

Msaada wowote ambao mngeupokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu.

Tamaduni za waandishi zilisema kwamba pindi pesa au vitu vingine vilipoahidiwa kanisani, visingetumika kwa lengo lingine lolote.

Hazina ya Hekalu

Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, kwa hiyo andika hii kwakutumia alfabeti za lugha yako lisikike kama hili kwa kadri uwezavyo.

Hazina ya Hekalu

Hapa mwandishi anarejea kwa kitu fulani katika neno la Kiebrania. Hili neno linapaswa kunakiriwa kama ilivyo katika lugha yako kutumia alfabeti.

imetolewa kwa Mungu

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Nimeitoa kwa Mungu"

hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake

Kwa kufanya hivi, Mafarisayo wanawaruhusu watu kutowapatia wazazi wao, kama wanatoa ahadi kumpa Mungu kila wangetoa kwao

bure

kualishwa au kuachana nayo

Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya."

"Na mnavyofanya inaweza vitu vingine kufanana na hiki"