sw_tn/mrk/07/08.md

836 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea wandishi na Mafarisayo

kuacha

"kata kumfuata"

Anayesema mabaya juu ya

"Anaye laani"

kushikilia kwa wepesi

"shikiliza kwa nguvu" au "weka"

Mmeikataa amri...mtunze tamaduni zenu

Yesu anatumia sentensi za kejeli kuwakemea wasikilizaji wake kwa kuziacha amri za Mungu. "Mnafikiri mmefanya vizuri kwa jinsi mmemkataa amri za Mungu ili kwamba mtunze tamaduni zenu, lakini mlichofanya si vizuri kabisa!"

Mmeikataa

"mu uhodari kiasi gani kumkataa"

asemaye mabaya

"anaye laani"

hakika atakufa

"anapaswa kuuwawa"

'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa

Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mamlaka yanapaswa kumwadhibu kifo mtu anasema vibaya juu ya baba yake au mama"