sw_tn/mrk/07/02.md

443 B

Na waliona

"na Mafarisayo na wandishi waliona"

kwa mikono najisi

Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yanayokosekana. "kwamba, walikula na mikono najisi"

wazee

Wazee wa kiyahudi walikuwa viongozi katika jamii zao na pia walikuwa waamuzi wa watu.

vyombo vya shaba

"mabirika ya shaba" au "vyombo vya vyuma"

viti vinavyotumika wakati wa chakula

"benchi" au "vitanda". Kwa wakati huo, Wayahudi wange egemea kitu wakati wa kula.