forked from WA-Catalog/sw_tn
306 B
306 B
Wakamshangaa kabisa
Kama unataka kuwa mahususi zaidi, inaweza kusemwa nini walikuwa wakishangaa. "Walishangazwa na kila alichokuwa amekifanya"
mikate ilimaanisha nini
Neno "mikate" urejea wakati Yesu alipoizidisha mikate.
mioyo yao ilikuwa migumu
Kuwa na mioyo inawakilisha kuwa wagumu kuelewa.