sw_tn/mrk/06/51.md

306 B

Wakamshangaa kabisa

Kama unataka kuwa mahususi zaidi, inaweza kusemwa nini walikuwa wakishangaa. "Walishangazwa na kila alichokuwa amekifanya"

mikate ilimaanisha nini

Neno "mikate" urejea wakati Yesu alipoizidisha mikate.

mioyo yao ilikuwa migumu

Kuwa na mioyo inawakilisha kuwa wagumu kuelewa.