sw_tn/mrk/06/33.md

381 B

waliwaona wakiondoka

"watu walimuona Yesu na mitume wakiondoka"

kwa miguu

Watu walienda kwa miguu kutoka miji yote, ambapo inajipinga na namna wanafunzi walienda kwa mtumbwi.

aliona umati mkubwa

"Yesu aliona umati mkubwa"

walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji

Yesu analinganisha watu kwa kondoo waliochanganyikiwa pindi wanapokosa mchungaji wao wa kuwaongoza.