sw_tn/mrk/06/30.md

568 B

Sentensi unganishi

Baada ya wanafunzi kurudi toka kuhubiri na kuponya, wanaenda sehemu nyingine kuwa na faragha, lakini kuna watu wengi wanakuja kumsikiliza Yesu anafundisha. Wakati ambapo kunakuwa jioni, anawalisha watu na kisha anawatuma kila mmoja wakati akiomba peke yake.

eneo la jangwa

eneo ambalo halikuwa na watu

wengi walikuwa wanakuja na kwenda

Hii inamaanisha kwamba watu waliendelea kuja kwa mitume na kisha kwenda mbali nao.

hata hawakuwa

Neno "hawa" urejea kwa mitume.

Hivyo walienda zao

Hapa neno "wali" inawajumuisha mitume na Yesu.