sw_tn/mrk/06/23.md

267 B

chochote utakachoniomba...ufalme wangu

Hii inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yanayokosekana. "Nitakupa nusu ya kile ninachomiliki na kutawala, kama utaniomba"

akatoka nje

"akatoka nje ya chumba"

mara moja

"sasa hivi"

ndani ya sahani

juu ya kisahani