sw_tn/mrk/06/18.md

506 B

alitaka kumuua, lakini hakuweza

Binti wa Herode ni mtendaji mkuu katika kifungu hiki na "binti" ni maneno mbadala kama anavyotaka mtu fulani amuuwe Yohana. "alitaka mtu fulani amuuwe, lakini asinge muuwa"

maana Herode alimwongopa; alimjua

Hivi vifungu viwili vinaweza kuunganishwa tofauti kuonyesha zaidi kwanini Herode alimwogopa Yohana. "maana Herode alimwogopa Yohana kwa sababu alimjua"

alijua kwamba ni mwema

"Herode alimjua kuwa Yohana alikuwa mwema"

Msikilize yeye

"Msikilize Yohana"