sw_tn/mrk/06/01.md

716 B

Sentensi unganishi

Yesu anarudi kwa mji wa nyumbani ambapo anakataliwa.

mji wake wa nyumbani

Hii inarejea kwa mji wa Nazarethi ambao Yesu alikulia na familia yake inaishi. Hii hana maana ya kuwa anamiliki ardhi.

Ni hekina gani aliyopewa?

Hili swali, ambalo lina muundo wa tulivu, inaweza kuulizwa katika kauli tendaji. "Hii ni hekima ya namna gani aliyopata?"

kwamba anafanya kwa mikono yake

Haya maneno yanasisitiza kuwa Yesu mwenyewe anafanya miujiza.

Huyu si seremala, kijana wa Mariamu, na ndugu yake Yohana na Yose na Yuda na Simoni? Dada zake zake hawapo hapa kati yatu?

Si huyu ni seremala, kijana wa Mariamu, na kaka yake Yohana na Yose na Yuda na Simoni? Dada zake hawapo hapa kati yetu?