sw_tn/mrk/05/41.md

487 B

Talitha koum

Hii ni sentensi ya kiaramu, ambayo Yesu alimwambiaa binti katika lugha yake.

Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili

"alikuwa na miaka 12"

Aliwaamuru kwa nguvu kwamba hakuna yeyote anapaswa kujua kuhusu hili

"Aliwaamuru kwa nguvu, hakuna yeyote anapaswa kujua hili" au "Aliwaamuru kwa nguvu, Wasimwambie yeyote kuhusu aliyoyafanya!"

Aliwaamuru kwa nguvu

"Aliwaamuru kwa nguvu"

Na aliwaambia wampatie yule binti chakula

Na aliwaambia, 'mpeni chochote ale"