sw_tn/mrk/05/39.md

484 B

aliwaambia

"Yesu aliwaambia watu walikuwa wakilia"

Kwa nini mnafadhaika na kwa nini mnalia?

Yesu aliuliza swali hili kuwasaidia kuona imani yao ndogo. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi "Hampaswi kufadhaika na kulia."

aliwatoa wote nje

"watoe watu wengine wote nje ya nyumba"

wale waliokuwa pamoja naye

Hii inarejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana

alienda alipokuwa mtoto

Inaweza kuwa msaada kusema alipokuwa mtoto. "alienda chumbani pale alipokuwa amelala mtoto."