sw_tn/mrk/05/07.md

574 B

Akapiga kelele

"Roho chafu ikapiga kelele"

Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu?

Roho chafu inauliza swali hili kwa uoga. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Niache peke yangyu, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu! Hakuna sababu ya wewe kuniingilia mimi"

Yesu...usinitese.

Yesu, "Mwana wa Mungu aliye juu,"ana uwezo kuzitesa roho chafu.

Mwana wa Mungu aliye juu

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.

Nakuombwa kwa Mungu mwenyewe

Hapa roho chafu anaapa kwa Mungu kama anafanya ombi la Yesu. Angali namna gani ya ombi hili linafanywa katika lugha ya kwenu.