sw_tn/mrk/05/05.md

377 B

alijikata yeye mwenyewe kwa mawe makali

Mara nyingi wakati ambapo mtu anamilikiwa na pepo, pepo atamsababisha mtu huyo kufanya vitu vya uharibifu, kama vile kujikata mwenyewe.

Alipomwona Yesu kwa mbali

Wakati ambapo mtu huyu alipomwona Yesu, Yesu alikuwa anatoka mtumbwini.

kuinama

Hii inamaanisha aliinama mbele za Yesu kwa hofu na heshima, na wala si kwa kuabudu.